FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
Kuna vikundi Vingi vya uigizaji vingependa kukutana na muigizaji hodari Wema Sepetu huku wilayani na mikoani na kuchuma uzoefu ikiwemo kutangaza kazi zake
Kwa wilaya ya Kahama mmiliki wa Nyumbani Pub mwanamama Mrembo Mariam,kakupa ofa ya Chakula nyumbani Pub wilayani Kahama,upendo ulioje madam Wema huu
Pia Kahama wanahela hata ukitaka kupiga Picha na wewe iwe elfu kumi watapiga
Pia wakupangie utembelee baadhi ya familia zinazokupenda
Chibu nae nyota yake ilipendwa huku ila kakata mguu tunamsubiri aishiwe Nyimbo na Sie tutamnyaa
Instagram:kaukwaju
Kwa wilaya ya Kahama mmiliki wa Nyumbani Pub mwanamama Mrembo Mariam,kakupa ofa ya Chakula nyumbani Pub wilayani Kahama,upendo ulioje madam Wema huu
Pia Kahama wanahela hata ukitaka kupiga Picha na wewe iwe elfu kumi watapiga
Pia wakupangie utembelee baadhi ya familia zinazokupenda
Chibu nae nyota yake ilipendwa huku ila kakata mguu tunamsubiri aishiwe Nyimbo na Sie tutamnyaa
Instagram:kaukwaju