vodacom Na M PESA mnanini leo ??????

vodacom Na M PESA mnanini leo ??????

mbalila

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
824
Reaction score
161
wakuu tangu subuhi leo kutuma pesa na kutoa pesa ni shida sanaa kupitia mtandao huu wa vodakom sijui kuna shida gani ,kama kuna mtu amepata shida hii atujuze
 
hawa voda hawajui wanavurugia watu mipango yao kwa kutopatikana kwa huduma ya m-pesa.
 
Leo nimenunua vocha kwa mpesa saa nne asubuhi kuja kupata saa kumi na moja jioni.
 
Tanzania mitandao yote ni ovyo kabisa. Hakuna wenye afadhali. Ni shida
 
Mitandao ya cm ya hapa bongo ni majangiri tu. Nyambaf
 
hawakawii kuwa wamejikopesha pesa ze2 na kuzizungusha juu kwa juu...only in tanzania haya mambo yanatokea huku tcra na voda hq wamekaa kimya wala hawatoi taarifa yoyote yenye uhakika. kalaghabao!
 
dah hawa jamaa wanakera sana tangu jana huduma zao hazipatikani na wako kimya tu
 
Jitahidini kuchanganya mitandao maana hata mimi leo nimeokolewa na airtel.
 
ni heli uweke pesa yako kwenye kibubu itakusaidia ukiwa na shida kuliko kwenye line...ivi mtu ambaye ana mgojwa na wenye matatizo na pesa yake ipo kwenye account ya m pesa ..
 
Mimi nilifikiri ni sisi tu wakijiji kumbe hata mlioko town!
 
Hii siku ya leo nzuri sana kwa wadaiwa, ila ni kwa muda tu. Nimewatumia watu wawili pesa asubuhi hadi saa hizi hawajapata.
 
ni heli uweke pesa yako kwenye kibubu itakusaidia ukiwa na shida kuliko kwenye line...ivi mtu ambaye ana mgojwa na wenye matatizo na pesa yake ipo kwenye account ya m pesa ..

Tangu tar 9 june mtandao wa mpesa umekufa nilinunua umeme wa 5000 kimya,nikanunua wa 2000 kimya hakuna jibu nikiwapigia wanajibu mda wako wakuongea bure mwezi huu umeisha kwanini kampuni isifutwe
 
Back
Top Bottom