shuhudia lihemla
Member
- Jul 12, 2014
- 61
- 17
Sio nawakejel ila najaribu kuwaeleza uhalisia uliopo na hasa kwa kipindi hiki ambapo watu wanategemea sana kupata habari kupitia mitandaoni.
Meneja wa masoko tafadhari wateja wenu tunaomba hlo suala la 1mb mliangalie vzuri.
Kwa dunia ya sasa mitandaon ni muhimu sana ila ninyi mnatulazmisha tununue vocha ya dakika na vocha ya internet mmemuangalia mteja wa kijijini lakini ambae vocha ya 500 ananunua kwa 600. Voda tunawapenda sana ila mmh kwahali hii mnataka tuumie.
Meneja nadhani JF nawe ni member. Tunaomba utuelezee sababu ya kutoka 8mb hadi 1mb.
N mtazamo wangu kama nimekosea msinishtaki kwa kosa kimtandao ila mnielimishe nipate elewa.
Naomba kuwasilisha.
Meneja wa masoko tafadhari wateja wenu tunaomba hlo suala la 1mb mliangalie vzuri.
Kwa dunia ya sasa mitandaon ni muhimu sana ila ninyi mnatulazmisha tununue vocha ya dakika na vocha ya internet mmemuangalia mteja wa kijijini lakini ambae vocha ya 500 ananunua kwa 600. Voda tunawapenda sana ila mmh kwahali hii mnataka tuumie.
Meneja nadhani JF nawe ni member. Tunaomba utuelezee sababu ya kutoka 8mb hadi 1mb.
N mtazamo wangu kama nimekosea msinishtaki kwa kosa kimtandao ila mnielimishe nipate elewa.
Naomba kuwasilisha.