Mimi simu yangu ina 'block phrases" unaandika maneno yote ambayo yakiwa kwenye msg hiyo msg iblokiwe.
Mfano "Mkopo" mameseji yao yenye neno mkopo yote hautayaona.
Songesha, Shangwena, hongera ! Wow! Ni rahisi! Milionea! Sport pesa, soka letu nk. Hayo maneno yote nimeyalima block hivo sipokei mimeseji yao. Na namba zinazopiga nimeblok pia.