Jamaa wamekuja na mpya sasa. Ukitaka kuangalia salio M-Pesa kawaida unatozwa shilingi 60. Ukitaka kuangali bure unaambiwa download App yao. Sasa mimi nina simu ya tochi. Je hiyo App ninaiwekaje? Duuhhhh
Jamaa wamekuja na mpya sasa. Ukitaka kuangalia salio kawaida unatozwa shilingi 60. Ukitaka kuangali bure unaambiwa download App yao. Sasa mimi nina simu ya tochi. Je hiyo App ninaiwekaje? Duuhhhh