Kwa muda sasa nimekuwa mtumiaji wa huduma ya M-Pesa. Pamoja na matatizo ya mara kwa mara ya "network"! lakini bado imekuwa ikisaidia sana katika kutuma pesa...
Tatizo lililopo ni kuwa hawa "mawakala" ni "wababaishaji" wakubwa sana - kila mara ukienda pale wanakwambia kuwa "hawana credit"!
Kama wamiliki wa Vodacom wanaingia hapa JF ni wakati muafaka mkaaza ku-review uwakala wa M-Pesa!