Vodacom huu sasa ni uhuni

Vodacom huu sasa ni uhuni

PRINCE CROWN

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,210
Reaction score
4,178
limekua sasa ni tatizo mtu unanunua kifurushi cha [enternet] cha bila kikomo lakini unatumia ikishafika mb 700 unatumiwa sms kuambiwa unapunguziwa speed,sasa najiuliza ni nini maana ya bila kikomo?

mbaya zaidi,wakishapunguza speed yaani huwezi kufanya kazi yoyote maana internet inakwenda kama konokono​ sasa uhu si uhuni? Embu jirekebiseni ihi ni tabia mbaya na ni uwizi,
 
hawa ni wezi angalia na salio lako mara kwa mara, huwa wanakata pesa kimya kimya, Feb 2015 niliwadai hadi wakarudisha, imagine
 
Hamia Airtel kama umechoka kuibiwa na hao wezi vodacom, wenzako tumehama kimya kimya bila kulalamika maana hakuna msaada hata ukilalama.
 
limekua sasa ni tatizo mtu unanunua kifurushi cha [internet] cha bila kikomo lakini unatumia ikishafika mb 700 unatumiwa sms kuambiwa unapunguziwa speed,sasa najiuliza ni nini maana ya bila kikomo?

mbaya zaidi,wakishapunguza speed yaani huwezi kufanya kazi yoyote maana internet inakwenda kama konokono​ sasa huu si uhuni? Embu jirekebiseni hii ni tabia mbaya na ni wizi,

Isomeke hivyo walau maana matumizi ya lugha si mazuri.
 
Ni kweli inaboa sana na ukichunguza hizo mb 700 ni uongo ukitaka kujua download movie ya mb 700 kwa mfano ikifika Mb 498 wanatuma SMS hiyo ya umefikia kiwango cha mb 700 sasa huu si utapeli jamani?
 
Nimehama vodacom na wiki ss acha wa endlea na biashara zao fake niko kw baba lao
 
mie nashindwa sijui niende mtandao gani una nafuu, hawa jamaa wanatunyonga sana wanyonge
 
MD wao anaondoka sasa cjui ajae atakuja na style ipi ya kula hela za wateja, itakua ukibeep tu wanakata mb
 
Back
Top Bottom