Vodacom hii imekuwa kero

Vodacom hii imekuwa kero

sausage

Member
Joined
Jul 30, 2012
Posts
80
Reaction score
40
Hii company ya VODACOM imekuwa ikitoa offer za Uongo wanakwambia sekunde 900 na sms mia lakini ukishajiungu wanakata zaidi ya Hiyo 350 ukiwapigia cmu wanakwambia umekoseaau muda umeisha kwenye voice mail na ikiangalia kwenye simu yako huna mtu anayetumia voice mail kwakweli huduma za voda no mbaya na kero ,mara cmu haipatikani Wakati uliongea naye dk 1 iliyopita mara network busy ,mara out of service area. Sio kwamba tunashindwa kuwahama ila mtu anafikiria ni vitu vingapi atapoteza kwakubadilisha namba za simu. VODACOM PLS BADILIKENI TUMECHOKA UMEKUWA KERO !!!!!!
 
Sio hao tu hata hizi kampuni zingine mbili ni hivyo hivyo tu, we jaribu kuweka vocha ya buku halafu jiunge na huduma zao za offer kwa sh 500 halafu cheki kama kesho asubuhi imebaki exactly sh 500, lazima utakuta wamekata shillingi kadhaa badala ya 500 utakuta 480 au 450 jamaa noma sana hawa.
 
Asikudanganye mtu, hakuna cha ofa wala nini. Ofa ni chambo tu wakuibie. Bure ghari!
 
waizi sana, ni kuhama hama tu pale kwenye nafuu siku hiyo unahamia huko kwa sasa mitandao mingine inajitahidi kuliko voda, hawa ni majambazi wakubwa
 
Wapo kibiashara zaidi. Wanatudanganya wateja wao bila hata aibu. SITAKI NA SIPENDI KUSIKIA HABARI YA OFFER.
Ila hii YATOSHA mi nimeikubali. Siwafagilii lakini tangu nianze kuitumia naona inalipa. Na ukitaka kuwakomoa fanya hivi. Weka credit inayotosha kununua package unayoitaka, ukishaipata hiya wanakoma wenyewe, hawa pa kukwapua.
 
mara wanakutumia ma ujumbe yao ya kukushawishi ujiunge na cheka mara mahela mara ujinge na lili lichama lao.
 
Kwa kweli hata mimi mwenyewe natamani kuhama hii kampuni ila sema nitapoteza mawasiliano ya muhimu ila wajaribu kurekebisha hayo makosa.
 
Wapo kibiashara zaidi. Wanatudanganya wateja wao bila hata aibu. SITAKI NA SIPENDI KUSIKIA HABARI YA OFFER.
Ila hii YATOSHA mi nimeikubali. Siwafagilii lakini tangu nianze kuitumia naona inalipa. Na ukitaka kuwakomoa fanya hivi. Weka credit inayotosha kununua package unayoitaka, ukishaipata hiya wanakoma wenyewe, hawa pa kukwapua.

hapo bro angu labda watajirekebisha harafu hizi kero tunazotoa sijui huwa hawazioni mi nashindwa kuelewa kabisa
 
Hii company ya VODACOM imekuwa ikitoa offer za Uongo wanakwambia sekunde 900 na sms mia lakini ukishajiungu wanakata zaidi ya Hiyo 350 ukiwapigia cmu wanakwambia umekoseaau muda umeisha kwenye voice mail na ikiangalia kwenye simu yako huna mtu anayetumia voice mail kwakweli huduma za voda no mbaya na kero ,mara cmu haipatikani Wakati uliongea naye dk 1 iliyopita mara network busy ,mara out of service area. Sio kwamba tunashindwa kuwahama ila mtu anafikiria ni vitu vingapi atapoteza kwakubadilisha namba za simu. VODACOM PLS BADILIKENI TUMECHOKA UMEKUWA KERO !!!!!!
 
Yatoshaa ndo mpango mzima kwa sasa, kabla hawaja badilika maana haya makampuni wajanja sana wanawavuta watu mliingia kwa wingi kwenye line wanaanza kuchakachua. Jamaa wa TIQO niliwahama hivyo hivyo, unatuma sms 15 unaambiwa zimeisha niliwapigia wakadai sms zikiwa ndefu sana zinagawanyika into packages so unaweza dhani umetuma moja kumbe ni 3 au 4, siku hiyo nikakubali maana sikutafiti ukubwa w a sms zangu, siku kadhaa nikaweka mtego na nilikuwa na hesabu packages nilituma 23 kwa 3 jumla 69 nyingine wakazilamba from there nikasema YATOSHAA!!
 
Lipo kampuni 1, ZANTEL, ni zuri mno: tatizo lao wamecnzia Dar na Zanziba tu. Just imagine sehemu ambazo hawana minara wanatumia minara ya Voda au Airtel lakini gharama zao ni cheap kuliko hayo makampuni yenye minara yao!
 
Nyie sijuwi mpo dunia gani. HAKUNAGA KAMA VODA, WAULIZENI WAJANJA. kwa sh 200 una-download file la ukubwa wowote hata kama ni GB 10 saa 4 usiku hadi 1 asubuhi!

Ndiyo maana wenyewe wanasema KAZI NI KWAKO, kweli kazi ni kwenu.
 
Hii company ya VODACOM
imekuwa ikitoa offer za Uongo wanakwambia sekunde 900 na sms mia lakini
ukishajiungu wanakata zaidi ya Hiyo 350 ukiwapigia cmu wanakwambia
umekoseaau muda umeisha kwenye voice mail na ikiangalia kwenye simu yako
huna mtu anayetumia voice mail kwakweli huduma za voda no mbaya na kero
,mara cmu haipatikani Wakati uliongea naye dk 1 iliyopita mara network
busy ,mara out of service area. Sio kwamba tunashindwa kuwahama ila mtu
anafikiria ni vitu vingapi atapoteza kwakubadilisha namba za simu.
VODACOM PLS BADILIKENI TUMECHOKA UMEKUWA KERO !!!!!!

Yaani kuhama voda kwa tatizo kama hilo ni sawa na kuruka jivu na kukanyaga moto, Mi kwa mtizamo wang voda ndio kdg kuna afadhali kwingine ndo kbs hakufai kiukweli.
 
Back
Top Bottom