kweli kabisa vocha Airtel ni za kiwango cha chini sana,pamoja na uangalifu bado mara kwa namba zinafutika/kwanguka.Kibaya zaidi inaweza kukuchukua hadi dakika kumi kuwapata customer care,jibu wanalokupa utachoka.Utaambiwa nenda ofisi yao ya karibu au wakala wao.Kwa mzunguko huomtu unajikuta unaachana na hio labda kama ni ya thamani ya juu,imagine watoa huduma wetu walivyo na nyodo then upange foleni kwa ajili ya vocha ya Tsh.500,watakupiga jicho la dharau mpaka ujione hufai wakati ni haki yako.
Wanatakiwa kujirekebishana pia kujaribu kutumia njia mbadala kupunguza mzunguko na usumbufu huu.