Kahtan Ahmed
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 765
- 490
Habari kuna viwanja vingi tunaviuza maeneo ya kigamboni yale yale puna ambapo ni kilometer 37 kutoka ferry ya kigamboni na ni dakika 55 kwa gari mwendo wa kawaida.
Bei ya viwanja kwa square meter ni sh 10,000= hivyo viwanja ambavyo ni vidogo ni square meter 400 ila vipo pia vyenye ukubwa mpaka square meter 1500, ni uwezo wako tu.
Viwanja kutoka barabara kuu ni meter 100 , umeme upo pamoja na maji na mji unakua na watu wengi wameshajenga na kuhamia.
Viwanja vyote vimepimwa kisheria na full documents, SURVEY PLOT NO 1-195, BLOCK L ,YALE YALE PUMA, TEMEKE DSM,
UTAUZIWA PAMOJA NA HATI YENYE JINA LAKO KISHERIA, UNAWEZA KUJA NA MWANASHERIA WAKO PIA
kwa Mawasiliano 0712 212 220
Bei ya viwanja kwa square meter ni sh 10,000= hivyo viwanja ambavyo ni vidogo ni square meter 400 ila vipo pia vyenye ukubwa mpaka square meter 1500, ni uwezo wako tu.
Viwanja kutoka barabara kuu ni meter 100 , umeme upo pamoja na maji na mji unakua na watu wengi wameshajenga na kuhamia.
Viwanja vyote vimepimwa kisheria na full documents, SURVEY PLOT NO 1-195, BLOCK L ,YALE YALE PUMA, TEMEKE DSM,
UTAUZIWA PAMOJA NA HATI YENYE JINA LAKO KISHERIA, UNAWEZA KUJA NA MWANASHERIA WAKO PIA
kwa Mawasiliano 0712 212 220