Viwanja vya vinauzwa vipo goba

Viwanja vya vinauzwa vipo goba

Akiri

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
1,445
Reaction score
217
Viwanja vipo sehemu nzuri ambazo zinafaa kwa makazi , mji tayari umeendelea katika kiwango cha kutosha , huduma zote muhimu zipo. kuna viwananja vya 25 x 35 bei 2,800,000 na 30 x40 bei 3,800,000 pia kuna heka 2 zilizoungana pamoja zinauzwa 50m. hivi viwanja havijapimwa unaweza pima kwa gharama zako wapimaji wapo.
kwa mtaji tuwasiliane: 0657 145555, 0755 099 291 na 0772 008866
 
kipimo ni kwa futi au mita? Maana mimi inanichanganya sana!
 
huko si ndio uvamizi uliposhika kasi!!!??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom