Kuna utapeli mwingi pale ila awe tu makini maana mradi wa hiyo bandari mpya unapitia hadi maeneo yale kuna maeneo watu wanasubiri kulipwa fidia sasa awe makini na huyo dalari wake watu wanalia sana
Kuna utapeli mwingi pale ila awe tu makini maana mradi wa hiyo bandari mpya unapitia hadi maeneo yale kuna maeneo watu wanasubiri kulipwa fidia sasa awe makini na huyo dalari wake watu wanalia sana
kuna mshikaji wangu mmoja anauza heka 2 hapo kerege upande wa baharin kama unaenda bagamoyo. kipo karibu na Epz tena kACHOKA kweli anadaiwa na bank ungemuotea huyo ungekula shavu