Wadau nina 2m/-. Naomba kujua wapi naweza kupata kiwanja cha 1.5m hapa Dar?
.. .ya kilimo! !!mkuu kwa hiyo 1.5 million bagamoyo utapata viwanja vitatu kwa laki tano kila kimoja,.
Vitakufaa sana hasa kwa kuanzisha project,..
Karibu na Dsm zoo Tshs 2mil unapata heka bana, sio nusu!!Nipigie kwa 0686555726 upate nusu heka, Kigamboni mbele ya Dar es salaam zoo. Ni nje ya mradi na Maji yapo karibu na pia pana makazi.
mkuu kwa hiyo 1.5 million bagamoyo utapata viwanja vitatu kwa laki tano kila kimoja,.
Vitakufaa sana hasa kwa kuanzisha project,..