Viwanja! viwanja!viwanja!

Viwanja! viwanja!viwanja!

teetotaller

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2014
Posts
317
Reaction score
214
Za asubuhi wape
1470128957445.jpg
ndwa.
Nnapenda kuwataarifu kua kwa yeyote mwenye uhitaji au mwenye ndugu, jamaa au rafiki mwenye uhitaji wa viwanja mkoani mwanza kua kuna viwanja viwili vyenye ujazo wa juu wa mita za mraba 271 kila kimoja vikiwa vimeambatana pamoja na viko maeneo ya Bujingwa Kitalu A. Cha tatu kina ukubwa wa ujazo wa mita za mraba 590 na kipo Nyamadoke karibu na shule ya msingi Nyamadoke.Kwa mawasiliano juu ya bei za viwanja hivi na maelezo ya ziada pia uwezekano wa kupata viwanja vingine ndani ya wilaya ya Ilemela tumia namba 0764359094 au 0652240799,town plan map hiyo hapo chini,viwanja ni 14 & 16.
 
Nyie watu bana!!! Mnafanya biashara halafu namba mnazoweka kwenye tangazo hazipatikani, tabia hii ni kutuchosha tu
 
Weka details zaidi,Umbali toka Mjini Kati,bei ya kuuza,Offer?
 
weka bei hapa wote tuone..

maana kuficha bei ni dalili za ulanguzi
 
weka bei yake hapa hapa tuone sio kutuwekea manamba ya simu yasiyopatikana sasa mtu anweza kushuku nyie matapeli hata hivyo inasadikika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom