Viwanja viwanja viwanja viwanja

Viwanja viwanja viwanja viwanja

naaman

Member
Joined
Jan 13, 2014
Posts
14
Reaction score
0
Vipo boko vimepimwa tayari ukubwa miguu 28 kwa 20
bei sh milion tatu na nusu

viwanja vip goba na tegeta kupitia njia ya mbezi mwisho bei tofauti 20 kwa 20 kwa sh milion nne

heka moja kiluvya kwa sumayi milion tatu na nusu

kiwanja kipo kigamboni kimbiji heka moja milion tano

viwanja vipo mpiji magoe 25 kwa 25 bei milion mbili na nusu

kiwanja kipo mvuti chanika 25 kwa 25 milion mbili na nusu

mbezi luis mtaa wa muhimbili 20 kwa 20 milion mbili na nusu

viwanja vipo mbezi luguruni karibu na chuo cha st joseph 30 kwa 30 ni milion 15 inapungua na unaweza lipa kwa awamu
40 kwa 40 milion 22 inapungua na unaweza lipa kwa awamu
piga 0712 016626
0768 122956
 
Hivi viwanja hakuna mtu alivikimbilia aya sasa saivi ni shingapi ndugu.
 
Duuh Sasa hivi naona havikamatiki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom