Viwanja Vinauzwa

Merci

Member
Feb 6, 2012
90
135
Viwanja vinauzwa vipo Mbezi Makabe (KM 3.5 kutoka Morogoro road), Mbezi Msakuzi(KM 5 kutoka Morogoro road), na Kwembe-Kibamba(KM 2 kutoka Morogoro road). Mita 20*25 bei 3.5M, Mita 20*25 bei 3M, Mita 20*20 bei 2.5M na Mita 20*20 bei 2M. Bei imezingatia uonekanaji (Landskape) ya kiwanja husika. Maeneo yote haya umeme upo karibu na barabara ni nzuri hadi kiwanjani. Viwanja vyote ni mali yangu nipigie ukiwa seriouse kununua 0713596266
 
Viwanja vinauzwa vipo Mbezi Makabe (KM 3.5 kutoka Morogoro road), Mbezi Msakuzi(KM 5 kutoka Morogoro road), na Kwembe-Kibamba(KM 2 kutoka Morogoro road). Mita 20*25 bei 3.5M, Mita 20*25 bei 3M, Mita 20*20 bei 2.5M na Mita 20*20 bei 2M. Bei imezingatia uonekanaji (Landskape) ya kiwanja husika. Maeneo yote haya umeme upo karibu na barabara ni nzuri hadi kiwanjani. Viwanja vyote ni mali yangu nipigie ukiwa seriouse kununua 0713596266

Ndugu nahitaji huko Kwembe;
Je vimepimwa? vipo eneo la mradi? Kwembe ipi - baada ya maduka sita au kabla?
Asante
 
Ndugu nahitaji huko Kwembe;
Je vimepimwa? vipo eneo la mradi? Kwembe ipi - baada ya maduka sita au kabla?
Asante

Viwanja hivi havina hati na wala havipo eneo la mradi ule wa chuo kule ni mbali sana na pia viko baada ya maduka sita ila njia ndo hiyo unaingilia kama unaenda kule kwenye mradi wa chuo. Ni vyema ukaja ukaviona
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom