Manyusi... Je hivyo viwanja vina hati au vimeshakua surveyed au hata basi vina plan nzuri ya makazi ili tusije kuishia kununua njia na vitu kama hivyo?
Sina lengola kukuharibia biashara lakini nadhani ni vyema tuwe tunaaddress yote hayo ili kuokoa vizaizi vijavyo na kibera nyingine....
Pia kama ushauri tu, haya ya 22X25 yamehsapitwa na wakati, uza eneo kwa sq meters na tena umeshafanya plan yote ya saiti na ni vyema ku-share hata the total area unayouza coz some may agree to buy even 50% of your land and re-plan the use of the whole land
Cha kuangalia hapo ni kwamba eka moja in about 4000 sq meters na 22 au 20 by 25 ni kama sq meters 400-500 which means waweza kutoa viwanja hata nane kama mambo ya barabara, open space na assembly places hujaweka.... ina maana eka moja unapiga almost 20M na kutuachia disasta ya kimazingira huku nyuma
wewe unaona ni sawa?