Viwanja vinauzwa mbezi msumi- bei 2milion

Viwanja vinauzwa mbezi msumi- bei 2milion

mwanaWaafrika

Member
Joined
Dec 12, 2010
Posts
26
Reaction score
3
MITA 23*20 2.8MILION, 25*20 2.99MILION VIKOTAMBARARE,
NA VYOTE VINAFIKIKA KWA GARI.
piga: 0713316188
 
weka picha mkuu, halafu tueleze upatikanaji wa huduma kama maji, umeme, elimu, afya itakuwa umetoa mwangaza kidogo
 
MITA 23*20 2.8MILION, 25*20 2.99MILION VIKOTAMBARARE,
NA VYOTE VINAFIKIKA KWA GARI.
piga: 0713316188

Tapeli mkubwa. Kichwa cha habar mil2. Ukiingia ndani mil2.8, mil2.9999. Xhenzi wewe
 
MITA 23*20 2.8MILION, 25*20 2.99MILION VIKOTAMBARARE,
NA VYOTE VINAFIKIKA KWA GARI.

piga: 0713316188
 
weka picha mkuu, halafu tueleze upatikanaji wa huduma kama maji, umeme, elimu, afya itakuwa umetoa mwangaza kidogo
umeme huko mbali ila haujafika site, maji yapo ya visima, shule zipo jirani kabisa za academy na kanumba. kituo cha afya nacho kipo.
 
umeme huko mbali ila haujafika site, maji yapo ya visima, shule zipo jirani kabisa za academy na kanumba. kituo cha afya nacho kipo.
Kwa hiyo wewe ndio Mwanawafrika? Bado vipo hivyo viwanja?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom