Viwanja vinauzwa Mabwe pande

Viwanja vinauzwa Mabwe pande

jeff255

New Member
Joined
May 20, 2015
Posts
4
Reaction score
0
Viwanja vinauzwa mabwepande kinondoni DSM, m20×m30 tsh6,500,000. Kuna m20×m20 tsh4,500,000. Pia kuna nyumba kubwa ya kisasa yenye vyumba3, sitting room1, dining1, master1 na choo 1 cha public. Yenyewe bado kupauliwa tu. Bei Tsh 25,000,000. Vyote vipo karibu na shule ya sekondari ya mabwepande, ni mita chache tu kutoka barabara kuu. Tuwasiliane p.m.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom