Pionaire
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 1,595
- 1,135
Habari wana JF,Kuna viwanja vinauzwa,kimoja kipo ''KITUNDA-KIVULE'' kipo karibu na barabara kina ukubwa wa hatua za ''UREFU-40 na UPANA-30''.Na kingine kipo karibu kidogo na tegeta maeneo ya ''MADALA-KWA KAWAWA'' kina ukubwa wa hatua ''UREFU-40 na UPANA-36'',viwanja hivyo havipo ''MILIMANI WALA MABONDENI'',vyote vina hati miliki halali,mnunuaji atapelekwa kuviona vilipo kabla ya manunuzi na wahusika endapo atafika bei,kwa atakayeitaji na maelezo zaidi wasiliana na namba za wahusika ''0787 061826'' au ''0767 061826'' au ''0754 455630'' au ''0715 455630'',mteja asiwe na wasiwasi kwani swala hili halina WIZI wala UDALALI,shukrani ziende kwenu WANA JF.