Viwanja vinauzwa kwa bei nafuu.

Viwanja vinauzwa kwa bei nafuu.

Pionaire

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
1,595
Reaction score
1,135
Habari wana JF,Kuna viwanja vinauzwa,kimoja kipo ''KITUNDA-KIVULE'' kipo karibu na barabara kina ukubwa wa hatua za ''UREFU-40 na UPANA-30''.Na kingine kipo karibu kidogo na tegeta maeneo ya ''MADALA-KWA KAWAWA'' kina ukubwa wa hatua ''UREFU-40 na UPANA-36'',viwanja hivyo havipo ''MILIMANI WALA MABONDENI'',vyote vina hati miliki halali,mnunuaji atapelekwa kuviona vilipo kabla ya manunuzi na wahusika endapo atafika bei,kwa atakayeitaji na maelezo zaidi wasiliana na namba za wahusika ''0787 061826'' au ''0767 061826'' au ''0754 455630'' au ''0715 455630'',mteja asiwe na wasiwasi kwani swala hili halina WIZI wala UDALALI,shukrani ziende kwenu WANA JF.
 
Habari wana JF,Kuna viwanja vinauzwa,kimoja kipo ''KITUNDA-KIVULE'' kipo karibu na barabara kina ukubwa wa hatua za ''UREFU-40 na UPANA-30''.Na kingine kipo karibu kidogo na tegeta maeneo ya ''MADALA-KWA KAWAWA'' kina ukubwa wa hatua ''UREFU-40 na UPANA-36'',viwanja hivyo havipo ''MILIMANI WALA MABONDENI'',vyote vina hati miliki halali,mnunuaji atapelekwa kuviona vilipo kabla ya manunuzi na wahusika endapo atafika bei,kwa atakayeitaji na maelezo zaidi wasiliana na namba za wahusika ''0787 061826'' au ''0767 061826'' au ''0754 455630'' au ''0715 455630'',mteja asiwe na wasiwasi kwani swala hili halina WIZI wala UDALALI,shukrani ziende kwenu WANA JF.

Maelezo yako yanaacha maswali mengi, hapo pekundu rudia kufafanua mkuu. Hivi hatua siku hizi ni equivalent na mita? Halafu unasema kimepimwa na kina hati, nani alipima kwa hatua na akatoa hati? Au unataka kusema ni zile karatasi za serikali za mitaa? Fafanua mkuu.
 
  • Thanks
Reactions: Paw
sasa mkuuu bei na fuu ndo sh ngapi hiyo???maana hakuna noti yoyote halala tanzania inaitwa bei nafuu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom