Viwanja vinauzwa Kinyerezi DSM

Viwanja vinauzwa Kinyerezi DSM

Tunzo

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
4,123
Reaction score
2,444
Viwanja tofauti vinauzwa kinyerezi DSM, vipo vya bei tofauti kuanzia Milion 8 mpaka Milion 70, inategemea na eneo kilipo na pia na ukubwa, vingi vipo maeneo ya kinyerezi shule na mia msitu wa nyuki (ila hakuna nyuki) vingine vipo barabarani, vingine vimepimwa, kwa walio serious na kununua nicheki kwa 0684448888 au 0713415537

Note; Usidai picha maana kiwanja sio kimoja vipo vingi, piga upate maelezo, na kama utaridhika na maeneo karibu kinyerezi tujenge kinyerezi yetu.
 
Wakuu bado viwanja vipo karibuni.
 
Bado viwanja vipo karibuni
 
kiwanja cha m10 kinapatikana kinyerezi karibuni
 
tunzo msitu wa nyuki ni eneo tengefu . ukitaka kutuhakikishia tupia nakala za hati humu vinginevyo hatudanganyiki
Viwanja tofauti vinauzwa kinyerezi DSM, vipo vya bei tofauti kuanzia Milion 8 mpaka Milion 70, inategemea na eneo kilipo na pia na ukubwa, vingi vipo maeneo ya kinyerezi shule na mia msitu wa nyuki (ila hakuna nyuki) vingine vipo barabarani, vingine vimepimwa, kwa walio serious na kununua nicheki kwa 0684448888 au 0713415537

Note; Usidai picha maana kiwanja sio kimoja vipo vingi, piga upate maelezo, na kama utaridhika na maeneo karibu kinyerezi tujenge kinyerezi yetu.
 
Tabata kuna madalali matapeli..kuweni makini.hasa wapi bima na magengeni
 
tunzo msitu wa nyuki ni eneo tengefu . ukitaka kutuhakikishia tupia nakala za hati humu vinginevyo hatudanganyiki

kaka viwanja vipo na c msitu wa nyuki tu' na kumbika msitu wa nyuki ni jina tu! pia hapa kuna wakuu wameshanunua na wengine wameshaona hivi Havana longolongo
 
Tabata kuna madalali matapeli..kuweni makini.hasa wapi bima na magengeni

kaka woga wako ndio umasikini wako, wakuu wameshanunua na wengine wameshaona! hii haina longolongo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom