Kitomai
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 1,060
- 281
Viwanja vyenye sura ya mashamba vinauzwa, vipo katika kijiji che Kerege, kijiji cha pili toka Bunju katika barabara iendayo Bagamoyo. Viwanja hivyo vipo umbali wa kilimomita 1 kutoka Bagamoyo Road. Vimegwanya katika vipande vya mita 20 x kwa 20. Bei ya kipande ni sh 2mil. karibu.
Mawasiliano 0717114409 0755312233
Mawasiliano 0717114409 0755312233