Viwanja vinauzwa bei nafuu

Viwanja vinauzwa bei nafuu

maleka

Senior Member
Joined
May 23, 2013
Posts
143
Reaction score
33
Jupatie Kiwanja chenye ukubwa wa mita 20 X 20 maeneo ya Kidimu-Kibamba mpakani na Kibaha kwa bei nafuu ya sh. 2m.
Barabara zipo hadi viwanjani.
NB: Upimaji wa eneo hilo utaanza mda wowote kuanzia sasa.
karibuni.
 
nina laki nataka miguu mitano kwa mitano nijenge chumba kinoja vip
 
Kwa laki mbili naweza pata ukubwa gani?
 
Ok bei mwisho ni ngap

kumbuka mkuu hii ni mita 20 kwa 20 na sio futi wala miguu.
Eneo lipo ktk mchakato wa upimwaji na serikali. Kiwanja cha size hiyo kilichopimwa si chini ya 8m. Hivo bei haiwezi kupungua zaid ya hapo. Ukitaka 15 X 20 kimebaki kimoja nitakupa kwa 1.6m
 
kumbuka mkuu hii ni mita 20 kwa 20 na sio futi wala miguu.
Eneo lipo ktk mchakato wa upimwaji na serikali. Kiwanja cha size hiyo kilichopimwa si chini ya 8m. Hivo bei haiwezi kupungua zaid ya hapo. Ukitaka 15 X 20 kimebaki kimoja nitakupa kwa 1.6m
Poa mkuu
 
haiwezekani kupimwa na serikali hiyo size
aah mtalaamu fanyafanya mtaalamu angalia namna ujue wewe mtaalamu mi nakuamini sana ujue ebu angaliaangalia kanamna kidogo eeebwanaa eeh tumia kaujanja kidogo we ni mtaalamu mkubwa sana
 
MTU akitaka square metre 1200 hadi 1500 anaweza kupata kwa shs. ngapi bosi?
 
Nipe direction vizuri.
kutoka mbezi shuka Kibamba njia panda shule then kuna hiace na bajaji zinaenda sehem inaitwa Kibwegere sh.500/- ukifika hapo unaweza kutembea au kuchukua bodaboda sh.1000/- unafika site-
 
kutoka mbezi shuka Kibamba njia panda shule then kuna hiace na bajaji zinaenda sehem inaitwa Kibwegere sh.500/- ukifika hapo unaweza kutembea au kuchukua bodaboda sh.1000/- unafika site-
Kama nina private......na mjumbe wa kule anaitwa nani. Ili tukifika tumuulizie.
 
Kama nina private......na mjumbe wa kule anaitwa nani. Ili tukifika tumuulizie.
kama una private unafika hadi site bila tatizo.
ukiwa na nia nijulishe tutaenda pamoja kupitia kwa wajumbe wote husika. Wanaishi karibu na sehem yenyewe.
 
kumbuka mkuu hii ni mita 20 kwa 20 na sio futi wala miguu.
Eneo lipo ktk mchakato wa upimwaji na serikali. Kiwanja cha size hiyo kilichopimwa si chini ya 8m. Hivo bei haiwezi kupungua zaid ya hapo. Ukitaka 15 X 20 kimebaki kimoja nitakupa kwa 1.6m

Mmhh kibaha huko kiwanja kilichopimwa sqm moja huwa hawauz zaid ya elf 6.000, sasa chukua hyo 20*20=400*6000 unapata 2.4m wewe hiyo zaid ya mil 8 umeitoa wap??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom