Viwanja vilivyokwishapimwa,viko sita, unapatiwa na hati sqm 914, 935, 953, 969, 986 na 1643.
Viko moshono zamani olkeriani. Mashariki mwa njiro, bei sh 28,000/= kwa sqm.
Mawasiliano pm au email kitalolo@gmail.com.
*** you
*** you
Du!!!!!Viwanja vilivyokwishapimwa,viko sita, unapatiwa na hati sqm 914, 935, 953, 969, 986 na 1643.
Viko moshono zamani olkeriani. Mashariki mwa njiro, bei sh 28,000/= kwa sqm.
Mawasiliano pm au email kitalolo@gmail.com.
Du!!!!!
kuna kipindi mamlaka fulan ilikuwa inauza viwanja kwa shs 850/square M. kweli mkuu kwa sie walala hoi tutaweza miliki kiwanja?, kati ya hivyo cha bei rahis ni zaidi ya mill. 25, mie kwa mwezi natengeneza lak 2.5
mwaka 250,000 X12 = 3,000,000.
mil 25/3,000,000 = 8.5 yrs
hapa natakiwa kipato changu chote nikupe hata Valuuu nisiguse!!
unaumwaa nn!!!!!
Viwanja vilivyokwishapimwa,viko sita, unapatiwa na hati sqm 914, 935, 953, 969, 986 na 1643.
Viko moshono zamani olkeriani. Mashariki mwa njiro, bei sh 28,000/= kwa sqm.
Mawasiliano pm au email kitalolo@gmail.com.
King Kong III land value ya arusha iko juu kutokana na demand kuwa juu among other factors na wengi wa buyers ni watu wenye pesa zao including wafanya biashara wakubwa na wanasiasa