Wananchi ambao walitakiwa kupata viwanja eneo la magwepande wamelalamikia uongozi wa halimashauri ya wilaya ya kinondoni kuwa wanagawa viwanja hivyo kwa rushwa, kwani viwanja vilivyopimwa ni 274 na naombi ni zaidi ya 600.
source: habari chanel ten
Wananchi ambao walitakiwa kupata viwanja eneo la magwepande wamelalamikia uongozi wa halimashauri ya wilaya ya kinondoni kuwa wanagawa viwanja hivyo kwa rushwa, kwani viwanja vilivyopimwa ni 274 na naombi ni zaidi ya 600.
source: habari chanel ten