Sonship
JF-Expert Member
- Apr 13, 2021
- 263
- 337
Huko Kuna migogoro balaa juzi juzi tu hapa raia wamechoma nyumba ya mwenyekiti wa serikali ya mtaaSorry kiongozi unaijua vzr Lakini mabwe pande? Unazungumziaje kuhusu migogoro iliyopo uko?
Kazi ni kipimo cha utu
Mkuu maeneo ya goba na madale hauna viwanja?Viwanja vinauzwa bunju mabwe pande
Vipo kwenye eneo la ekari 1
Umeme na maji yamefika site
Vinakatwa ukubwa kuanzia
Mita 20x20 bei mln 4.2
Mita 20x25 bei mln 4.5
Mita 20x30 bei mln 5
Pia size unayotaka utauziwa
0775 179905
View attachment 3446463View attachment 3446466View attachment 3446468
Mkuu unataka kuniambia mwambepande kuna mtaa mmoja na mwenye kiti mmoja tu?Maeneo yako yakutosha yaliyo halali na yasiyo na migogoro muhimu ni mtu kujiridhisha kabla ya kufanya manunuziHuko Kuna migogoro balaa juzi juzi tu hapa raia wamechoma nyumba ya mwenyekiti wa serikali ya mtaa
Mkuu umiliki halali wa muuzaji unaweza kufuata taratibu muhimu kabla ya manunuzi ya ardhi kujiridhisha
DSMKwa ninavyojua DSM hakuna viwanja vya bei naona kutakuwa na shida sehemu ingekuwa chanika huko sawa