Viwanja 2 Vinauzwa Nyegezi Mwanza

Viwanja 2 Vinauzwa Nyegezi Mwanza

papason

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2010
Posts
5,119
Reaction score
5,709
Salute Wanabodi!

Nina uza Viwanja 2 vilivyopo jiji Mwanza maeneo ya Nyegezi Nyamalango & Nyamazobe chini ya stendi ya mabasi Nyegezi , mmiliki na muuzaji wa hivi viwanja ni mimi mwenyewe, hivyo dalali hatakiwi.

Kiwanja Cha Nyegezi - Nyamalango: Kipo kwenye eneo la makazi ambalo ni flat area, kimepimwa, ukubwa 30 X 20m, nguzo ya umeme na bomba la maji vipo btn 5 -10m toka kwenye kiwanja, bei ni milioni 13.

Kiwanja Cha Nyegezi - Nyamazobe: Kipo kwenye eneo la makazi ambalo ni mwinuko kidogo linalo tazama upande wa mashariki ilipo stendi ya mabasi nyegezi, kipo sehemu yenye mandhari nzuri sana, ukubwa ni 32 x 25m, umeme na maji vipo mita 20, bei ni milioni 8.5

Ni PM kama una hitaji kiwanja/viwanja hivi.

Ciao!
 
Sawa tumekusikia mkuu, ila weka number ya sim ili uwe reachable ili ata ma 'guest' na wao waweze kukufikia!
Usisahau kuichangia JF baada ya 'kukamirisha' hili 'deal' lako
 
Kwa bei hiyo, bora kusogea hapo buhongwa! Viwanja bado Bei bwerere!
 
Kwa bei hiyo, bora kusogea hapo buhongwa! Viwanja bado Bei bwerere!

Kwani Buhongwa viwanja vinaanzia kiasi gani,nalipenda jiji la Mwanza,naweza kuweka ka kibanda kangu huko panapo majaliwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom