Mambo gani???? Achen ubahil wanaume, sasa mtu anataka avae kiatu cha mtumba 8000 ili avae miaka 3 bila kubadilisha kama kalogewa. Hebu nendeni na wakati bhana, sio kuishia kuona pair za viatu za akina fulan kwenye TV.
Nenda Karume kama ulivyokwisha shauriwa. Viwalo vya mtumba hata mi navikubali. Hivi viwalo vipya unanunua ukivifua mara mbili tatu vinakuwa kwenye hali mbaya kuliko hata vile vya mtumba!
Ooh Ukimaliza Mishe Zako Utanishtua basi kama tufahamiane, WhatsAp nimebadili namba dada c unajua nimepewa Cheo Cha Waziri wa Michepuko anayesimamia Sera na Uratibu Wa Jf! Sasa wifi yako hataki