wakuu sehemu gani dar naweza nikapata nguo nzuri za kupendeza kwa mvulana za kutosha kuanzia t-shts,shrts,trousers,pens na viatu especially viwalo vya mtumba kwa bajeti ya laki 2?
wakuu sehemu gani dar naweza nikapata nguo nzuri za kupendeza kwa mvulana za kutosha kuanzia t-shts,shrts,trousers,pens na viatu especially viwalo vya mtumba kwa bajeti ya laki 2?
wakuu sehemu gani dar naweza nikapata nguo nzuri za kupendeza kwa mvulana za kutosha kuanzia t-shts,shrts,trousers,pens na viatu especially viwalo vya mtumba kwa bajeti ya laki 2?
Mambo gani???? Achen ubahil wanaume, sasa mtu anataka avae kiatu cha mtumba 8000 ili avae miaka 3 bila kubadilisha kama kalogewa. Hebu nendeni na wakati bhana, sio kuishia kuona pair za viatu za akina fulan kwenye TV.
Mambo gani???? Achen ubahil wanaume, sasa mtu anataka avae kiatu cha mtumba 8000 ili avae miaka 3 bila kubadilisha kama kalogewa. Hebu nendeni na wakati bhana, sio kuishia kuona pair za viatu za akina fulan kwenye TV.