Unafatilia kimya kimya hahahaha safiii.Hahaaa. Nipo mdogo wangu.
Mada nyingine zina ukakasi mdogo wangu hasa pale inapoelemea sehemu moja wakati mwisho wa siku raha mnapata wote.Unafatilia kimya kimya hahahaha safiii.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Viuno utadhani wameshindiliwa kokoto bwana
Hapo chacha hahahaha hawataki kupambana na hali zao, lolMada nyingine zina ukakasi mdogo wangu hasa pale inapoelemea sehemu moja wakati mwisho wa siku raha mnapata wote.
Mzima lakini?
Kweli kabisa habari ya viuno wa achane nayo tu. Mana ukikata kiuno peke yako huku mwenzio anashangaa tu sasa hapo kuna raha au karaha. Cha zaidi mi naona itakuwa kuchoshana tu hapo.Hapo chacha hahahaha hawataki kupambana na hali zao, lol
Me mzima dada ake hofu juu yako.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Lol, nipo japo naingia kwa machale si unajua mambo ya HAPA KAZI TU.Kweli kabisa habari ya viuno wa achane nayo tu. Mana ukikata kiuno peke yako huku mwenzio anashangaa tu sasa hapo kuna raha au karaha. Cha zaidi mi naona itakuwa kuchoshana tu hapo.
Sijambo kabisa my mdogo. Sikuoni weye?
Hahahahaaaaaaa hata mie nashindwa kuwaelewa kabisaMbona nyie wanaume wa sasa bao moja mshachoka..tatizo nini??
Viuno si mkachukue wanenguaji wa Twanga au FM academia..
Aaaa wapi... kama umekutana na wa hivyo, usidhani ndo wote. Wengine hiyo unayoiita bao moja utaitafuta kwa dakika 40 ndo uje kuipata.Mbona nyie wanaume wa sasa bao moja mshachoka..tatizo nini??
Usijali mdogo wangu. Baadae basiLol, nipo japo naingia kwa machale si unajua mambo ya HAPA KAZI TU.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Angalia kwa umakini red na underlined blue, yaani wewe una demu wa kichaga, halafu ulikuwa na mwanaume aliyekufundisha mapenzi. Mbona sielewi kabisa hapa umeandika nini kwa mujibu wa mila na tamaduni za Kiafrika?
sina budi kumualika [HASHTAG]#sky eclat[/HASHTAG] aone post yako kwa sababu maalum.
Kokoto cha mtoto jiwe la fatuma tumeshindiliwaViuno utadhani wameshindiliwa kokoto bwana
Wawakatikie kwa wema gani mnaowafanyia ??? Hizo free p na ndoa hamuwatunuku, bora tu wawe magogo.