MstahikiMeya
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 1,633
- 561
Hiyo bei iko juu na kama ni me ataingia gharama nyingine ya kubadilli rangi any way Vitz sanasana ni za kinadada.
Mh Vits 12m?au umekosea spelling mkuu.
Maana kwana rangi ya pink ni lazima mnunuzi awe mwanamke.
Kama si mwanamke basi Shoga.
Mtanisamehe,maana hizi rangi wenzetu wanatoa kwa maana.
Usije siku moja ukakutana na mzungu wa kiume akakutongoza mwanaume mwenzie,ujue kuna pink arround.Usirushe ngumi
Sasa ni kwa ajili ya madada hiyo Pink Vits
vtz kwa bei hiyo alteza ntanunuwa kwa bei gan?
Ya mwaka 2004 imetembea kilomita elf64 bei milioni 12.5 maongezi yapo
0786242495
Bei hiyo kawauzie uchagani, maana huko ndo washamba.