Vituo vya huduma za afya kwanini visitenge receptions za wastaafu?

Tareeq

JF-Expert Member
May 3, 2010
828
407
Nimekuwa nikijiuliza sana swala hili, labda watunga sera hawajaliona hili nimeenda zaidi ya Mara kadhaa vituoni na ninakuta DIRISHA LA DAWA PISHA MZEE APITE' but mpaka anapopata dawa alichukua muda gani mapokezi huku akisukumwa na vijana na barubaru wenye nguvu walio nguvu na vitambulisho kwa sababu tu mimi MZEE nilikatwa mida na makodi kadhaa kijana akasoma akajapata kazi, I.D ya NHIF kama mwanangu au kama mwajiriwa Sara tukunapo mapokezi foleni kukabidhi kadi receptionist Anamind vijana wenzie, mkongwe unakaa mpaka utaiona rangi ndiyo uje uitwe. Ipo shughuli!

PLEASE WIZARA YA AFYA AGIZENI WAZEE WATENGEWE MAPOKEZI YAO PEKE YAO
 
Back
Top Bottom