Tanga kila kitu ni vituko tu mi nilikuta punda town kabisa pemben tra na nbc bank tena si mara moja ni mara kibao na ukienda makorora wamejaa kama wa kukod sijui ndo tax zao na ukipita usiku njia ya kutoka makorora kwenda sahare uwe makin wanalala katikati ya barabara pale opp ma makabur