Vituko mitandaoni. Tupia chako

ARUSHA: Masheikh 9 miongoni mwa wanaoshikiliwa kwa zaidi ya Miaka 10 katika Gereza Kuu la Kisongo wamesomewa Mashtaka katika Mahakama ya Kuu ya Kanda

Masheikh 6 kati yao wamekutwa na hatia ya kulipua Kanisa Katoliki la Parokia ya Mtakatifu Joseph #Olasiti Mwaka 2013 na kusababisha madhara makubwa hivyo kuhukumiwa kunyongwa

Waliohukumiwa ni Imam Jaafar Hashima Lema, Yusuf Ali Huta, Ramadhani Hamadi Waziri, Abdul Hassa Masta, Kassim Idrisa na Abashari Hassan Omari na waliochiwa huru ni Abduli Humud Wagoba, Abdurahmani na Amani Mussa Pakasi (ambaye amerejeshwa gerezani kwa kosa lingine)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…