Bango linaonya kuhusu maambukizi ya UKIMWI Wasukuma wanaingiaje hapo na wewe dogo?
Mila potofu maana yake nini? Hawana uwezo wa kulea watoto wao ama shida hasa ni nini? Ni wingi wao ndiyo unakutisha ama nini sasa?
Akina kiduku wanalia raia zao wazae halafu wewe unasema eti kuzaa ni mila potofu? ๐ณ๐ณ๐ณ
Na pamoja na wingi wao na hizo mila unazoziita potofu, UKIMWI uko huko Njombe, Iringa na Mbeya kwa Wanyaki huko. Umeniudhi sana japo hujaniudhi kivile ๐๐๐