Vituko mitandaoni. Tupia chako

haswa wasukuma wanamila potofu za kuzaa ovyo
Bango linaonya kuhusu maambukizi ya UKIMWI Wasukuma wanaingiaje hapo na wewe dogo?

Mila potofu maana yake nini? Hawana uwezo wa kulea watoto wao ama shida hasa ni nini? Ni wingi wao ndiyo unakutisha ama nini sasa?

Akina kiduku wanalia raia zao wazae halafu wewe unasema eti kuzaa ni mila potofu? ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ



Na pamoja na wingi wao na hizo mila unazoziita potofu, UKIMWI uko huko Njombe, Iringa na Mbeya kwa Wanyaki huko. Umeniudhi sana japo hujaniudhi kivile ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ