Nomba sana huyu bro awe mzima. Ni mtu humble sana na asiye na makuu. Yaani ukiongea naye ni kama vile unaongea na mshikaji. Kama kuna changamoto za kiafya zinamkabili basi Mungu Akamvushe salama kama alivyomvusha kwenye Korona! 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Huyu jamaa alikuta hakimu ni mwalimu wake aliyemfundisha primary. Ajabu sasa jamaa alikuwa na akili sana na alikuwa role model kwa wengine. Hakimu alishtuka akamuuliza "Trevor Young. What happened? You didn't go to college?" Sijui iliishia wapi hii ishu!
Nomba sana huyu bro awe mzima. Ni mtu humble sana na asiye na makuu. Yaani ukiongea naye ni kama vile unaongea na mshikaji. Kama kuna changamoto za kiafya zinamkabili basi Mungu Akamvushe salama