Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mkemia mkuu wa serikali anasema Dkt. Fidelice Makumiko amesema : ''Dawa hizi ni msaada, na hawawezi kukataa kitu ambacho wamepewa...dawa hii tumeipokea kama msaada na sio kwa ajili ya kugawa kwa wananchi ... dawa hii tumeipokea kama zawadi kwa ajili ya kufanya utafiti wakatuonyesha kuwa ni salama na haina madhara kwa wananchi wao''

Jr
 
Which is which?
Why?
Vi woooonder

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…