Vituko mitandaoni. Tupia chako

akhsante sana mwalimu eeh naona umetumia maneno machache sanaaa huku dakika zikielekeaaaaaaa anakosa pale nani huyu dah naona Leo vijana wana kazi ya ziada kwako mwalimu kashasha
Vijana wanapuyanga hadi naona uvivu kutumia maneno yangu ya kitaalam maana yatakuwa yanaenda bure kabisa. Tuombe refa amalize mpira haraka. Kwako jesse.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…