Leo JW wamenishangaza kuita press eti kuzungumzia watu wanaovaa mitumba au nguo za rangi ya kufanana na kombati za JW. Wanasema baada ya siku 7 watapita hata majumbani kukagua nguo zikiwemo boxer kama utazianika nje. Kazi ya jeshi ni hiyo kweli? Kupita kwenye majumba ya watu?