Vituko mitandaoni. Tupia chako

Leo JW wamenishangaza kuita press eti kuzungumzia watu wanaovaa mitumba au nguo za rangi ya kufanana na kombati za JW. Wanasema baada ya siku 7 watapita hata majumbani kukagua nguo zikiwemo boxer kama utazianika nje. Kazi ya jeshi ni hiyo kweli? Kupita kwenye majumba ya watu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…