TEC ina wasomi wa PhD. Tamko lao ni la kisomi. Wapechambua vifungu vya mkataba, na kutoa ushauri. Cha kushangaza mzee wetu wa Upako yeye anaikosoa TEC pasipo kujadili mkataba kisomi. Anatupa vijembe tu, lakini hana hoja. Anawaita Maaskofu "wale jamaa!". Totally UNPROFESSIONAL!!