Vituko mitandaoni. Tupia chako

Tafuna miwa Hadi Taya ziombe pooo


Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Huku Misungwi yaani mtu ukiamka tu unaamka na miwa. Halafu nadhani hii mbegu ya sasa imechakachuliwa maana miwa ni mitamu hatari!

Sasa hivi ninapoandika hapa nishateketeza mitatu na mpaka jua likachwe lazima 10+ itakuwa ishaenda na maji. Taya zimezoea! 😁😁😁
 
Miwa naipenda Sana na ni wakati wake Sasa,. tafuna babu

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…