Mke aliuliza maoni ya kisheria kutoka kwa mume wake wakili kuhusu kwa nini wake wanapaswa kuwapikia waume zao chakula. Alisema kulingana na Mkataba wa Geneva wafungwa wote lazima wapatiwe Chakula
Chukua karatasi au takataka zo zote. Zimwagie mafuta ya taa halafu zichome. Moshi na harufu yake zitamfanya atoke ndani ya nyumba haraka sana. Angalia usiishie kuchoma nyumba!