Vituko mitandaoni. Tupia chako

1. Mungu Baba niokoe na hatari hii inayonikabili maana ulishaahidi kuwa wakutumainiao daima utawalinda na kuwaokoa.

2. Mungu Baba nipatie ridhiki hii maana ulishaahidi kuwa wakuombao na kukutegemea hawatalala njaa.

Sijui ni sala gani itajibiwa hapa
πŸ™πŸΏπŸ™πŸΏπŸ™πŸΏ

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…