Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mobutu alikuwa madarakani kwa miaka 32 (1965-1997). Alikufa uhamishoni, kwa saratani ya kibofu, mwaka huo huo alio ondolewa madarakani. Hili hapa kaburi lake (& wanawe 2) huko Rabat, Morocco. Ingawa alikuwa amejipa majina mengi makuu, kaburi lake lina alama za herufi za kwanza - MSS, hakuna picha, hakuna cheo hakuna madoido yoyote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana mpango wa kuja kumzika nyumbani kwa heshima zote anazostahili.

Yote kwa yote ni fundisho kwetu wanadamu kwamba hapa duniani tunapita tu na yote ni ubatili!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…