Vituko mitandaoni. Tupia chako

Sarafu za Kirumi za Kale za ngono

Sarafu hizi zilitumika kama ishara za kuingia kwenye madanguro ya Kirumi


Kulingana na Suetonius, kubeba sarafu yenye sanamu ya mfalme kwenye choo au danguro kunaweza kuhesabiwa kuwa uhaini. Kwa hivyo, hizi ndizo sarafu pekee zilizotumika kwenye madanguro....

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama sarafu yako ni mbuzi kagoma huwezi pewa kifo cha mende au sefuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…