Vituko mitandaoni. Tupia chako


Out pf topic..

Baba handsome, binti beauty halafu kafanana na baba....

Wale wanaosema sura ya baba sio wote wabaya...

Kuna wanaume wamefanana na mama zao, akija kuzaa binti akafanana nae basi sura ya baba imekaa poa....

Ila binti wa kisukuma au kinyakyusa akifanana na baba yake, kwisha habari yake.....😅😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…