Vituko mitandaoni. Tupia chako

Isiyo na kikomo tena 🀣🀣🀣🀣🀣

Umekuwa TCRA AU Kazi zako ndo za humo unlimited sijajua inapatikanaje aseee 😁😁😁😁😁
kuna huduma inaitwa konnect, 60k unapata bando la speed 10Mb/s bila kikomo kwa mwezi.... sema kuinstall vifaa inacost 400k. Tutafte hela kaka
 
kuna huduma inaitwa konnect, 60k unapata bando la speed 10Mb/s bila kikomo kwa mwezi.... sema kuinstall vifaa inacost 400k. Tutafte hela kaka
🀣🀣🀣😁😁😁😁😁😁 Duuuh hiyo sitakuwa na matumizi nayo too much is harmful, πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ tumia kiasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…