❝CCM ilinunua vitu mbalimbali vyenye thamani ya Sh. milioni 58.60 ambavyo vimepitwa na wakati na havitumiki.
Aidha,Chama cha Wananchi (CUF) kilikuwa na magari kumi na Jenereta mbili zenye thamani ya Sh. milioni 302.93 ambazo zimekaa kwa muda mrefu bila ya kutumika,…
View attachment 2593669