Wanamchekea lakini ana potential ya kuleta maafa makubwa kuzidi hata ya Kibwetere.
Kumbuka anafuga watu nyumbani kwake na wanamtumikia kama mungu wao. Siku akiwaamrisha kunywa sumu au kujichoma moto ili waende mbinguni itakuwa sawa na yale maafa ya Jim Jones kule Guyana au Kibwetere wa Uganda.