Hiii KITU shushia na Azam energyKidonge Cha Viagra 100mg ni kipimo kikubwa cha Viagra na Inashauriwa Usitumie zaidi ya 100mg kwa Siku.
100mg Ya Kidonge Cha Viagra Hufaa kwa wanaume ambao Hushindwa kusimamisha uume kiasi cha kuuingiza ukeni pale wanapotumia kipimo cha 50mg.View attachment 2471367
Tena sana,kama mie siwezi kuficha khome kungekuwa kuna wizi ningeliaga kila leo maana vi chenji naviachaga tu,Bora udondoshe njiani. Watu mnaishi pamoja, mnacheka mnapiga stori halafu haohao wanakuzunguka wanakuibia inakera sana
Ohoo unavyozielezea hizi dalili unaonekana kabisa unaexperience nazo πββοΈ πββοΈ πDalili Ambazo Zitatokea Kama Utameza Kiwango cha Juu cha Viagra(overdose)
-Kutapika
-Kuona Rangi Ya Blue Machoni au Kutokuoa Kwa Mda
-Mapigo ya moyo kwenda kasi
-Kuhara
-Kusimamisha kwa mda Mrefu
-Maumivu kwenye Misuli ya Uume
-Kipata Shida ya Nevu ya Optic kitaalamu
tunaita (Optic neuropathy)
-Kufa Hutokufa Lakini Chaa Moto Utakiona Ukiwa Overdosage
Ukiwa Umetumia Dawa zaid ya Kipimo Unashauriwa Kutembelea Kituo cha Afya au Shehemu Yoyote Ambayo Unaweza Kupata Huduma za Afya za DharulaView attachment 2471373View attachment 2471375
Sijambo kaka,Ujambo dogo? Vipi ulishapata mchumba...miaka inaenda hii
Mambo ya ovyo sanaTena sana,kama mie siwezi kuficha khome kungekuwa kuna wizi ningeliaga kila leo maana vi chenji naviachaga tu,
Kuna best yangu aliingia chumbani akaniibiaga buku jero,nilikuwa nimeiweka kitandani,nikamchana live kuwa kachukuwa hela na kama angekuwa na shida angeniomba kuliko kujidhalilisha kwa vitu vidogo,
Wanakuwaga waongo
haya sasa ndio manenoSijambo kaka,
Mwaka huu usipoitwa shemeji basi utaitwa mjomba,
Mpaka kieleweke
haya sasa ndio maneno